Tulyetwende - 27.01.2018 - Rais, Nda kwambiya mu kishwahili luga yenye una fahamu vizuri. kwa kweli wenyi kua pembeni yako awa kwambiye ukweli ju ya uongozi wako. na nikwasababu ni wale wale waliokua na Mobutu. Kisha kumudanganya sawa vile wanakudanganyaka kila siku. wali ingiza Mobutu mu makosa na sa ya ku kimbiya wali mugeuziya mgongo ya yeye mwesheye akasema"on ma poignarder dans le dos". ni wa nani: Atundu liongo, ali kua mwenye ku usika na sécurité na wengine kama vile Mende, Tambwe Mwamba ata Bahati Lukwebo kama vile ministre wa Budget. ni wengi...una jua ju ya nini auku weza ku changer Homme congolais? ni ju ni wale wale wenye wali angusha Mobutu nandjo na weye una tumika nayo. Manake na weye bata kuangusha. Rais, wale watu wasi kudanganye ju Kanisa letu la wa Catholique si Kama zile zenye una endaka amo. na ingelikua vizuri ujihazari ju una fika sasa mwisho. usilewe ukubwa ju kila kitu ina mwisho. heri Mwisho Muzuri...